Uandishi ni nguzo muhimu katika ufunzaji wa lugha. Ujuzi wa uandishi umechangia pakubwa kwa waelekezi kuweza kueneza lugha mbalimbali na kufanikisha mawasiliano kwa watu wengi katika maeneo mbalimbali. Wanafunzi wengi hukosa kufanya mazoezi ya kuandika na kama njia moja ya kuwapa motisha, niliwahimiza (Evans Mosoti) washiriki katika shindano la uandishi wa insha.

Gazeti la Taifa Leo limekuwa likiandaa shindano la insha kila mwezi. Shindano hili huhusisha wanafunzi kutoka shule mbalimbali kote nchini ambao huwa katika maeneo saba. Majina ya washindi kumi bora kutoka kila eneo huchapishwa kwa gazeti huku mshindi akituzwa baada ya kila mwezi. Shindano kuu la kujishindia karo litakalowashirikisha washindi wa kila mwezi, litaandaliwa mara moja pekee mwishoni mwa mwaka.

Mwezi wa Mei, wanafunzi wawili waliweza kuibuka kati ya kumi bora, na mmoja wao kuchukua nafasi ya kwanza katika eneo la Nairobi. Job Mugane, aliyekuwa bingwa wa eneo la Nairobi, alipata fursa ya kuzuru jumba la ‘Nation’. Aliweza kukutana na afisa mkuu mtendaji aliyempongeza na vilevile mhariri wa Taifa Leo aliyemkabidhi hundi. Isitoshe, alipewa ziara fupi ya studio za NTV, QTV na Nation FM.

Shindano la mwezi wa Juni lilichangamkiwa na wanafunzi wengi. Matokeo yaliyochapishwa yalikuwa na wanafunzi sita wa Strathmore kati ya kumi bora eneo la Nairobi. Wanafunzi wamejitolea na tunatarajia kufanya vyema katika miezi iliyobaki inshallah.
Kiswahili kitukuzwe.

This year Strathmore School fielded a Handball team which featured in the County games. Strathmore School was pooled alongside Hospital Hill High School, Nairobi School, Kangemi and Loresho High School. The handball team managed to win two matches in their pool but could not proceed to the County knockout stages. The school team has students drawn from Form Two and Three classes who will be there next year to feature in the same tournament. They have high hopes of performing better next this year.

The school’s annual swimming gala was held on 23rd March 2019. It was a climax of the 4 Swimming gala events that the school swimming team has participated in. The 4 gala events were PIPSA (at St. Nicholas School), PIPSA (at School of Nations), Nakifeo (at Makini School), Lifetime (at Makini School). In these events Strathmore scooped position 2,2,1 and 1 respectively. The age groups featured were mainly between 7-and-Under to 13.

25 meter Medley Backstroke 7 & under 25 meter Free Style (Crawl) 7 & under
1 Ryan Mukoto 1 Ryan Mukoto
2 Lugali Osundwa 2 Keita Abondo
3 Rafael Kaminchia 3 Rafael Kamincha
50 meter Backstroke 50 meter Free Style (Crawl) 8 & 9
1 Emmanuel Otieno 1 Robert Mwangi
2 Adam Otieno 2 Justin Kariuki
3 Michira Mbugua 3 Jabari Areri
25 meter Kickboard 7 & under 50 meter Free Style (Crawl) 10 & 11
1 Rafael Kaminchia 1 Alex Kariuki
2 Keita Abondo 2 Kerama Nyanyuki
3 Ryan Mukoto 3 John Peter Ngala
50 meter Butterfly 8 & 9 50 meter Free Style (Crawl) 12 & 13
1 Justin Kariuki 1 Emmanuel Otieno
2 Jabari Areri 2 Adam Otieno
3 Robert Mwangi 3 Ndungu Kimani
50 meter Butterfly 10 & 11 Fins 25 meter Free Style (Crawl) 7 & under
1 Alex Kariuki 1 Keita Abondo
2 Kerama Nyanyuki 2 Ryan Mukoto
3 John Peter Ngala 3 Rafael Kamincha
50 meter Butterfly 12 & 13 50 meter Breast Stroke 8 & 9
1 Emmanuel Otieno 1 Justin Kariuki
2 Adam Otieno 2 Aidan Muiga
3 Ndungu Kimani 3 Jabari Areri
50 meter Backstroke 10 & 11 50 meter Breast Stroke 10 & 11
1 Alex Kariuki 1 Alex Kariuki
2 Kerama Nyanyuki 2 Kerama Nyanyuki
3 John Peter Ngala 3 John Peter Ngala
Free Style (Crawl) Relay 50 meter Breast Stroke 12 & 13
1 Keita Abondo 1 Adam Otieno
Robert Mwangi 2 Ndungu Kimani
John Peter Ngala 3 Emmanuel Otieno
Ndungu Kimani
2 Ryan Mukoto 25 meter Breast Stroke 7 & under
Aidan Muigai 1 Ryan Mukoto
Kerama Nyanyuki 2 Keita Abondo
Emmanuel Otieno 3 Michael Kathambana
3 Michael Kathambana
Justin Kariuki Medley Relay
Victor Nzoka 1 Ryan Mukoto
Solomon Muigai Nelson Onyango
Justin Kariuki
Adam Otieno
2 Keita Abondo
Ian Koinange
Kerama Nyanyuki
Leon Abwoga
3 Michael Kathambana
Aidan Muiga
John Mogusu
Jason Ngugi

Support our bursary fund!